Exodus 16:32
32
Musa akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza
Bwana
: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ”
Copyright information for
SwhKC